EMaS
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
Electronic Marking System (EMaS)
Coat of Arms
About EMaS

Electronic Marking System (EMaS)

EMaS ni mfumo wa kisasa unaosaidia shule na halmashauri kusimamia mitihani, uingizaji wa alama, uchambuzi wa matokeo, na utoaji wa ripoti kwa usahihi na kwa wakati.

Dira (Vision)

Kuwa mfumo unaoongoza Tanzania katika usimamizi wa mitihani kwa kutumia teknolojia ya kisasa yenye uwazi na ufanisi.

Dhima (Mission)

Kuwapa walimu na wasimamizi zana rahisi na salama za kuingiza alama, kuchakata matokeo, na kutoa ripoti kwa viwango bora.

Maadili Yetu

  • Usahihi na Uwajibikaji
  • Usalama wa Taarifa
  • Ufanisi na Ubunifu
  • Huduma kwa Jamii

Historia Yetu

EMaS imeundwa ili kutatua changamoto za muda mrefu katika uandaaji wa matokeo ya mitihani ya pamoja. Mfumo unarahisisha ugawaji wa majukumu (clerks/data entrants), huongeza uwazi katika uhakiki wa alama, na hutoa ripoti za kisasa kwa shule na halmashauri.

  • Kupunguza makosa ya kibinadamu kwenye calculations
  • Kurahisisha ufuatiliaji wa CA, Mock, Midterm na Annual
  • Kuongeza kasi ya kutolewa kwa matokeo na ripoti

Kwanini EMaS?

Tunazingatia matumizi rahisi, muonekano safi (UI), na utendaji wa haraka. EMaS inasaidia uendeshaji wa shule nyingi (multi-school), mitihani ya pamoja, rankings, na uchambuzi wa matokeo.

  • Dashboards & analytics kwa maamuzi ya haraka
  • Reports zinazoeleweka na zinazoweza kuchapishwa
  • Usalama na access control (roles)

Wasiliana Nasi

Unahitaji msaada, maelekezo, au unataka kuanza kutumia EMaS? Wasiliana nasi kupitia njia zifuatazo.

Anza Sasa

Jiunge na shule nyingi zinazotumia EMaS kuboresha uingizaji wa alama, uchambuzi wa matokeo, na usimamizi wa mitihani.